Habari za Leo Wakuu,

Hope Mpo Salama na Mnaendelea Vizuri na Mihangaiko ya Kila Siku ya Kujiletea Maendeleo. Leo Nimewaaletea PRODUCT nzuri sana kwa Bloggers kama mimi na Website Owners, Yes njia ya gharama nafuu zaidi ya kukuwezesha kupata LIKES za Facebook Page yako kwa AUDIENCE ya Tanzania, Kenya na Uganda kwa Bei Poa ya Tsh 10 Tu kwa Like Moja.

Hii ni sawa na Bure, kwa wale wenzangu na Mimi mnajua ni Ngumu kiasi gani ilivyo kupata LIKES za Kihalali za facebook, maana wastani wa Dola 1 ya Kimarekani hukuwezesha kupata wastani wa likes 9-36 kama campaign ya Tangazo lako likienda Vizuri, Otherwise unaweza ukajikuta Kila $0.10 inaishia kukupa Like 1 tu ya Facebook.

Mimi ni Mjasirialiamali nnayeendesha Maisha yangu kwa Kupitia Blogging na Ufugaji, Blogging ndo kila kitu kwangu, Mapema niligundua kuwepo kwa FURSA kupitia Google Adsense na Nikaitumia Vizuri, na Kuwafahamisha Wadau wengine Kuhusiana na Hilo. Leo Hii nimepata njia ya kutatua Kilio cha BLOGGERS Wengi, nacho ni TRAFFIC (Audience) ya Ku deliver contents zao na Hatimaye Wapate Pageviews nyingi na HELA za Google Adsense na Wadhamini wengine ZIPATIKANE.

Kwa Sasa Nimegundua Means ya Kukukuzia Page yako ya Face Book na Kuwapa Akaunti za Adsense wale Ambao bado Hawana Akaunti Hizo. Bei zangu ni Nafuu kuliko sehemu yoyote Duniani, Angalia Mchanganuo Ufuatao halafu Utachagua Package Gani Inakufaa:-

IDADI YA LIKESGHARAMA KWA TSHMUDA WA KUZIPATA(SIKU)
1,00010,000Siku 3
3,00030,000Siku 5
5,00050,000Siku 8
10,000100,000Siku 12
20,000200,000Siku 22
30,000300,000Siku 33
50,000500,000Siku 60
100,0001,000,000Siku 80

UTARATIBU WA MALIPO:-
Mimi Nipo Dar, Tandika Magorofani, Hapo ndipo Shughuli zangu nazifanyia, Mteja Unaweza Ukaja Hapa Tukaingia Mkataba wa Kisheria na Ukachagua Package Unayoihitaji. Then Kazi Ikaanza Mara Moja.

Kwa watu wa Mikoani Unaweza Ukamtuma Mtu Unaemuamini Akaja hapa kwa Niaba yako Ukipenda Unaweza Ukaniamini kwa kufanya 50% ya malipo mwanzo wa kazi nami ntakutumia contract na uthibitisho katika E Mail na tukawa tunawasiliana kadri kazi itakavyokuwa inaenda.

* Kwa wanaohitaji Akaunti za Adsense Tuwasiliane Nikuwezeshe Kuipata Akaunti yako kwa Bei Poa ya Tsh Elfu 35 Tu ndani ya Siku 5-7.

*TAHADHARI KWA BLOGGERS WEZI

Pia nichukue Fursa Hii Kuwa Taja Kwa Namba zao za Simu Bloggers hawa Ambao niliwaamini na Kuwapa Akaunti za Adsense wakanihakikishia kunilipa Mwisho wa Mwezi, Baada ya Kuwa U Admin wakaniremove na kujitamba, niliwaambia kuwa Mungu Yupo Upande wangu, nadhani wameona Kilichowakuta katika Akaunti Hizo..

Wezi hao ni SALUM BAYA.. 0756 245 496 na Mwenzake Jina sijamjua Anatumia namba 0682 012 183 na Email yake ni umapenzi@gmail.com.

kwa Maelezo zaidi unaweza nipata www.tanzaniabloggers.com  au simu namba 0719 447 204. Asanteni.

Habari Wapendwa Bloggers!!
Katika Article za Mwanzoni niligusia Kidogo kuhusiana na Google Adsense, Leo nawapa Mbinu za Kujisajili na Kuiendesha Akaunti yako ya Adsense kwa Faida. Siku za Nyuma jambo hili la kuwa na akaunti ya Adsense lilikuwa jepesi tu na Wajanja walioshtuka Mapema walifanikiwa Kutoka kimaisha kutokana na Hili.

Kwa Utaratibu wa Sasa ni Ngumu kufanikiwa kuipata Akaunti Mpya ya Adsense ikiwa hauna Content nyingi katika Blog yako na Content hizo zikiwa zina Lugha Ambayo inayokubalika na Google ambao ndio wamiliki wa Adsense. Kwa Ufupi tu jitahidi Blog yako iwe ina Post Angalau 30 za Kiingereza ili wasikukatalia kwa kigezo cha Unsufficient Content au Kigezo cha Unsupported Language.

Kingine cha Kuzingatia ni Umri/Muda gani Blog yako ilikuwa Hewani. Kwa sasa ni ngumu kwa Blog Mpya inayofunguliwa Leo Kupata Akaunti ya Adsense na Matangazo Kuonekana, Hii inamaanisha kwa sasa Adsense Wanahitaji Publishers wake wawe wavumilivu kidogo kabla ya Kukubaliwa na Kupewa Hizo Akaunti za Adsense.

*HILI Lisikukatishe Tamaa, Unaweza Ukasubiri Angalau Miezi Mitatu Huku Ukiandika Post za Kutosha kwenye Blog yako na Hatimaye By the Time unaomba Usajili wa Adsense Google Wakakupa Bila Shida Yoyoye.

Na Unapofanikiwa Kuipata Akaunti yako ya Adsense hakikisha haukinzani na Vigezo na Masharti yao..Kwa Lugha ya Kiiingereza Visome Hapa

JE UNGEPENDA KUIPATA AKAUNTI YAKO YA ADSENSE NDANI YA SIKU 5? Ni Maajabu lakini yawezekana Kuipata, Wasiliana Nasi Kujua Zaidi.

Tupate Facebook

Pata Blog Fasta

Wasiliana Nasi Tukuwezeshe Kupata Blog nzuri na yenye Viwango Vya Ubora Unaoendana na Mazingira ya Sasa. Tupigie Simu au Tuma Email:- 0719 447 204, 0752 981 380 au tzbloggers@gmail.com

Contact Form

Name

Email *

Message *

2016 © Tanzania Bloggers