Jinsi ya Kuweka Facebook Like Box katika Blog Yako


Habari za Leo?
Katika Muendelezo wetu wa Kutoa Mafunzo ya Blogging hasa kwa kutumia lugha ya kiswahili, leo naomba nikufahamishe njia rahisi zaidi ya kuweka Facebook like box katika blog yako.

FUATA NJIA HIZI RAHISI

Ingia kwenye Dashboard ya Blog yako kisha Bonyeza LAYOUT
Image result for images of blogger dashboard layout
Ukishaingia kwenye LAYOUT utabonyeza Add Gadget katika Upande unaotaka Ikae Hiyo Facebook Like Page Yako Mfano Pembeni Juu Kulia.




Kisha Utabonyeza  HTML/ Java Script na Kuingiza Codes hizi za HTML.

 <iframe src="//www.facebook.com/plugins/likebox.php?href=http://www.facebook.com/BongoGossip&amp;width=270&amp;height=220&amp;colorscheme=light&amp;show_faces=true&amp;border_color&amp;stream=false&amp;header=false&amp;" style="border:none; overflow:hidden; width:270px; height:220px;" ></iframe>


 Kumbuka kubadili Jina la BongoGossip na kuweka jina la Page yake ya Facebook, Pia una nafasi ya kubadili Urefu na upana Kutoka 220 hadi 300. Save na re load blog yako kuona mabadiliko hayo.


Karibu kwa Maswali, Maoni au Ushauri. Kila la Kheri.

Tupate Facebook

Pata Blog Fasta

Wasiliana Nasi Tukuwezeshe Kupata Blog nzuri na yenye Viwango Vya Ubora Unaoendana na Mazingira ya Sasa. Tupigie Simu au Tuma Email:- 0719 447 204, 0752 981 380 au tzbloggers@gmail.com

Contact Form

Name

Email *

Message *

2016 © Tanzania Bloggers